Skip to content
مُحمد /

Aya 5

47 : 5
مُحمد Aya 38
Sura · مُحمد
Kiswahili · Barawani
47 : 5

سَيَهۡدِيهِمۡ وَيُصۡلِحُ بَالَهُمۡ

Atawaongoza na awatengezee hali yao.

Explanation & meanings · 1
  1. Na walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu kabisa hatoacha vitendo vyao vipotee. Atawahidi, na azitengeneze nyoyo zao, na awatie katika Pepo aliyo kwisha wajuulisha.