47 : 5
سَيَهۡدِيهِمۡ وَيُصۡلِحُ بَالَهُمۡ
Atawaongoza na awatengezee hali yao.
Explanation & meanings · 1
- Na walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu kabisa hatoacha vitendo vyao vipotee. Atawahidi, na azitengeneze nyoyo zao, na awatie katika Pepo aliyo kwisha wajuulisha.