Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 69

43 : 69
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 69

ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ بِـَٔايَٰتِنَا وَكَانُواْ مُسۡلِمِينَ

Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Walio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu na wakamt'ii Yeye, na wakawa wanamnyenyekea.