Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 47

43 : 47
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 47

فَلَمَّا جَآءَهُم بِـَٔايَٰتِنَآ إِذَا هُم مِّنۡهَا يَضۡحَكُونَ

Lakini alipo wajia na Ishara zetu wakaingia kuzicheka.

Explanation & meanings · 1
  1. Alipo wajia kwa miujiza ya kuthibitisha Utume wake mara wakampokea kwa kumcheka, na kumfanyia tashtiti, na kumcheza shere, bila ya kuzingatia maneno yake.