Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 3

43 : 3
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 3

إِنَّا جَعَلۡنَٰهُ قُرۡءَٰنًا عَرَبِيّٗا لَّعَلَّكُمۡ تَعۡقِلُونَ

Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Sisi tumeijaalia Qur'ani iwe kwa lugha ya Kiarabu, ili mweze kuelewa umuujiza wake, na mweze kuzingatia maana zake.