Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 21

43 : 21
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 21

أَمۡ ءَاتَيۡنَٰهُمۡ كِتَٰبٗا مِّن قَبۡلِهِۦ فَهُم بِهِۦ مُسۡتَمۡسِكُونَ

Kwani tuliwapa Kitabu kabla ya hichi, na ikawa wao wanakishikilia hicho?

Explanation & meanings · 1
  1. Kwani tuliwapa Kitabu kabla ya Qur'ani cha kuunga mkono huu uzushi wao, ndio maana wakashikamana nao kwa nguvu hivi? Hatukuwateremshia Kitabu namna hiyo. Basi hawana hoja ya kuinukulu.