Skip to content
صٓ /

Aya 11

38 : 11
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 11

جُندٞ مَّا هُنَالِكَ مَهۡزُومٞ مِّنَ ٱلۡأَحۡزَابِ

Hao ni askari watao shindwa miongoni mwa makundi yatayo shindwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Hao ni askari wanyonge walio shindwa, hapana hivi wala hivi, kama walivyo shindwa mfano kama wao walio jikusanya kuwapinga Manabii.