Skip to content
الصَّافَات /

Aya 9

37 : 9
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 9

دُحُورٗاۖ وَلَهُمۡ عَذَابٞ وَاصِبٌ

Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hufukuzwa hao kwa nguvu wasifikilie kuweza kusikiliza khabari za mbinguni. Na Akhera watapata adhabu kali ya kudumu.