Skip to content
الصَّافَات /

Aya 80

37 : 80
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 80

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Sisi huwalipa walio tenda mema mfano wa haya. Basi aliingia katika Jihadi kulinyanyua Neno letu, na akavumilia maudhi kwa ajili yetu.