Skip to content
الصَّافَات /

Aya 51

37 : 51
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 51

قَالَ قَآئِلٞ مِّنۡهُمۡ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٞ

Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki.

Explanation & meanings · 1
  1. Hapo mmoja wao atasema: Mimi nalikuwa na rafiki katika washirikina, akijadiliana nami katika mambo ya Dini na yaliyo kuja katika Qur'ani.