Skip to content
الصَّافَات /

Aya 4

37 : 4
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 4

إِنَّ إِلَٰهَكُمۡ لَوَٰحِدٞ

Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Mungu wenu anaye faa kuabudiwa bila ya shaka ni Mmoja tu. Hana mshirika wake, kwa dhati, wala kitendo, wala sifa.