37 : 4
إِنَّ إِلَٰهَكُمۡ لَوَٰحِدٞ
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
Explanation & meanings · 1
- Hakika Mungu wenu anaye faa kuabudiwa bila ya shaka ni Mmoja tu. Hana mshirika wake, kwa dhati, wala kitendo, wala sifa.
إِنَّ إِلَٰهَكُمۡ لَوَٰحِدٞ
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.