Skip to content
الصَّافَات /

Aya 23

37 : 23
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 23

مِن دُونِ ٱللَّهِ فَٱهۡدُوهُمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡجَحِيمِ

Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

Explanation & meanings · 1
  1. Enyi Malaika wangu! Wakusanyeni walio jidhulumu nafsi zao kwa kufuru, pamoja na wake zao wa kikafiri, na miungu yao waliyo kuwa wakiiabudu badala ya Mwenyezi Mungu, yakiwa masanamu au watu, na waonyesheni njia ya kwendea Motoni waingie humo.