Skip to content
الصَّافَات /

Aya 2

37 : 2
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 2

فَٱلزَّٰجِرَٰتِ زَجۡرٗا

Na kwa wenye kukataza mabaya.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kwa wanao zuia wanao pindukia mipaka kwa mzuio mkali, nidhamu ibakie, na ulimwengu uhifadhiwe.