Skip to content
الصَّافَات /

Aya 138

37 : 138
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 138

وَبِٱلَّيۡلِۚ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ

Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika nyinyi, watu wa Makka, mnayapitia majumba ya hao kaumu Lut'i katika safari zenu za kwendea Sham asubuhi au usiku. Je! Mmepotelewa na akili zenu hata hamwezi kuzingatia yaliyo wapitia hao kuwa ni malipo ya ukanushaji wao?