Skip to content
الصَّافَات /

Aya 110

37 : 110
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 110

كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Explanation & meanings · 1
  1. Mfano wa malipo kama haya ya kuwakinga na balaa ndivyo tunavyo walipa walio wema katika kufuata amri za Mwenyezi Mungu.