Skip to content
الصَّافَات /

Aya 108

37 : 108
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 108

وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ

Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukaacha atajike kwa sifa nzuri katika ndimi za walio kuja baada yake.