Skip to content
فَاطِر /

Aya 19

35 : 19
فَاطِر Aya 45
Sura · فَاطِر
Kiswahili · Barawani
35 : 19

وَمَا يَسۡتَوِي ٱلۡأَعۡمَىٰ وَٱلۡبَصِيرُ

Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.

Explanation & meanings · 1
  1. Hawawezi kulingana wakawa sawa:- asiye hidika kuifuata Haki kwa ujinga wake na mwenye kufuata Njia ya uwongofu kwa ujuzi wake; wala uwongo na kweli; wala kivuli na upepo umoto