Skip to content
الأحزَاب /

Aya 70

33 : 70
الأحزَاب Aya 73
Sura · الأحزَاب
Kiswahili · Barawani
33 : 70

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ ٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَقُولُواْ قَوۡلٗا سَدِيدٗا

Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu na semeni maneno ya sawasawa.

Explanation & meanings · 1
  1. Enyi mlio amini! Iogopeni adhabu ya Mwenyezi Mungu mkimuasi, na semeni maneno yalio simama sawa yasio kwenda upogo.