Skip to content
الأحزَاب /

Aya 68

33 : 68
الأحزَاب Aya 73
Sura · الأحزَاب
Kiswahili · Barawani
33 : 68

رَبَّنَآ ءَاتِهِمۡ ضِعۡفَيۡنِ مِنَ ٱلۡعَذَابِ وَٱلۡعَنۡهُمۡ لَعۡنٗا كَبِيرٗا

Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Mola wetu Mlezi! Wajaalie adhabu yao iwe mardufu, na uwafukuze kwenye rehema yako kabisa kwa kadri ya madhambi yao na makosa yao.