Skip to content
الأحزَاب /

Aya 64

33 : 64
الأحزَاب Aya 73
Sura · الأحزَاب
Kiswahili · Barawani
33 : 64

إِنَّ ٱللَّهَ لَعَنَ ٱلۡكَٰفِرِينَ وَأَعَدَّ لَهُمۡ سَعِيرًا

Hakika Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri na amewaandalia Moto unao waka kwa nguvu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Mwenyezi Mungu amewafukuza makafiri kwenye rehema yake, na amewatengenezea Moto mkali mno.