33 : 47
وَبَشِّرِ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ بِأَنَّ لَهُم مِّنَ ٱللَّهِ فَضۡلٗا كَبِيرٗا
Na wabashirie Waumini ya kwamba wana fadhila kubwa inayo toka kwa Mwenyezi Mungu.
Explanation & meanings · 1
- Na wabashirie Waumini kwamba watapata kheri kubwa ya kuzidi katika dunia na Akhera.