33 : 42
وَسَبِّحُوهُ بُكۡرَةٗ وَأَصِيلًا
Na mtakaseni asubuhi na jioni.
Explanation & meanings · 1
- Enyi ambao mmeamini! Msifuni Mwenyezi Mungu kwa namna mbali mbali za sifa, na mfanye hayo kwa wingi. Na mtakaseni na kila kisicho kuwa laiki naye mwanzo wa mchana na mwisho wake.