Skip to content
الأحزَاب /

Aya 11

33 : 11
الأحزَاب Aya 73
Sura · الأحزَاب
Kiswahili · Barawani
33 : 11

هُنَالِكَ ٱبۡتُلِيَ ٱلۡمُؤۡمِنُونَ وَزُلۡزِلُواْ زِلۡزَالٗا شَدِيدٗا

Hapo ndipo Waumini walipo jaribiwa, na wakatikiswa mtikiso mkali.

Explanation & meanings · 1
  1. Katika wakati ule Waumini walifanyiwa mtihani juu ya kusubiri kwao juu ya Imani. Wakatikisika kwa khofu kwa mtikiso mkubwa.