Skip to content
النَّمل /

Aya 53

27 : 53
النَّمل Aya 93
Sura · النَّمل
Kiswahili · Barawani
27 : 53

وَأَنجَيۡنَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ

Na tukawaokoa wale walio amini na walio kuwa wanamchamngu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na Sisi tukakiokoa kikundi kilicho muamini Saleh kutokana na hilaki hii, na wakawa wanao gopa kuziacha amri zake.