27 : 2
هُدٗى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ
Uwongofu na bishara kwa Waumini!
Explanation & meanings · 1
- Na hii Qur'ani ni Uwongofu wa kuwaahidi Waumini waifuate njia ya kheri, na kufuzu duniani na Akhera, na inawabashiria kuwa watapata malipo mazuri.