Skip to content
الشعراء /

Aya 92

26 : 92
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 92

وَقِيلَ لَهُمۡ أَيۡنَ مَا كُنتُمۡ تَعۡبُدُونَ

Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu

Explanation & meanings · 1
  1. Wakaambiwa kwa kuwatahayarisha: Iko wapi hiyo miungu yenu mliyo kuwa mkiiabudu badala ya Mwenyezi Mungu?