Skip to content
الشعراء /

Aya 75

26 : 75
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 75

قَالَ أَفَرَءَيۡتُم مَّا كُنتُمۡ تَعۡبُدُونَ

Je! Mmewaona hawa mnao waabudu-

Explanation & meanings · 1
  1. Ibrahim akasema kwa kuwasusuika: Je! Mlifikiri hata mkalijua jambo lolote lilio kupelekeeni kudumu na kuyaabudu hayo masanamu?