Skip to content
الشعراء /

Aya 33

26 : 33
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 33

وَنَزَعَ يَدَهُۥ فَإِذَا هِيَ بَيۡضَآءُ لِلنَّٰظِرِينَ

Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.

Explanation & meanings · 1
  1. Musa akautoa mkono wake kutoka mfukoni mwake. Hiyo ni Ishara ya pili. Nao ukawa mweupe, bila ya maradhi, hata wakashangaa watazamaji kwa kumetuka kwake.