Skip to content
الشعراء /

Aya 31

26 : 31
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 31

قَالَ فَأۡتِ بِهِۦٓ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ

Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.

Explanation & meanings · 1
  1. Firauni akasema: Ulete ushahidi utao onyesha Unabii wako kama wewe kweli unasema kweli katika wito wako. Kasema hayo kwa tamaa ya kuwa huenda akapata kipengee cha udhaifu katika hoja zake.