Skip to content
الشعراء /

Aya 222

26 : 222
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 222

تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٖ

Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.

Explanation & meanings · 1
  1. Wanamteremkia kila mwenye kubeba dhambi za namna mbaya kabisa za uwongo, na madhambi ya kuchusha kabisa. Nao ni hao makohani mafisadi ambao tabia zao na tabia za Mashetani ni jinsi moja na zimewafikiana.