Skip to content
الشعراء /

Aya 146

26 : 146
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 146

أَتُتۡرَكُونَ فِي مَا هَٰهُنَآ ءَامِنِينَ

Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?

Explanation & meanings · 1
  1. Lilio wazuia ni kule kuamini kwao kwamba ati wataselelea katika zile starehe, watasalimika na adhabu, na kutoweka, na mauti,