Skip to content
الشعراء /

Aya 144

26 : 144
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 144

فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.

Explanation & meanings · 1
  1. Kwa hivyo tahadharini na adhabu ya Mwenyezi Mungu, na nifuateni kwa haya ninayo kuitieni kwayo kutokana na amri zake.