Skip to content
الشعراء /

Aya 142

26 : 142
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 142

إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ صَٰلِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ

Alipo waambia ndugu yao Swaleh: Je! Hamumchimngu?

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Mtume! Watajie watu wako, wakati ule kina Thamud walipo ambiwa na ndugu yao kwa uzao na uwananchi, si kwa dini, Swaleh: Hamumwogopi Mwenyezi Mungu, mkamuaabudu Yeye tu?