Skip to content
الشعراء /

Aya 133

26 : 133
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 133

أَمَدَّكُم بِأَنۡعَٰمٖ وَبَنِينَ

Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.

Explanation & meanings · 1
  1. Kama alivyo kupeni mifugo kama ngamia, na ng'ombe, na kondoo, na mbuzi, na wana wenye nguvu, wakukulindieni mifugo yenu, na kukusaidieni katika shida za maisha.