26 : 133
أَمَدَّكُم بِأَنۡعَٰمٖ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Explanation & meanings · 1
- Kama alivyo kupeni mifugo kama ngamia, na ng'ombe, na kondoo, na mbuzi, na wana wenye nguvu, wakukulindieni mifugo yenu, na kukusaidieni katika shida za maisha.