Skip to content
الشعراء /

Aya 120

26 : 120
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 120

ثُمَّ أَغۡرَقۡنَا بَعۡدُ ٱلۡبَاقِينَ

Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.

Explanation & meanings · 1
  1. Baada ya kuokoka kwa Nuhu na walio amini, Mwenyezi Mungu aliwazamisha walio baki katika kaumu ya Nuhu walio kuwa hawakuamini.