Skip to content
الشعراء /

Aya 114

26 : 114
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 114

وَمَآ أَنَا۠ بِطَارِدِ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ

Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala mimi siye wa kuwafukuza watu wanao uamini wito wangu vyovyote itavyo kuwa hali yao ya ufakiri au utajiri, kwa sababu ati ya kukubalieni nyinyi kwa mtakalo ili ndio mpate kuniamini.