26 : 11
قَوۡمَ فِرۡعَوۡنَۚ أَلَا يَتَّقُونَ
Watu wa Firauni. Hawaogopi?
Explanation & meanings · 1
- Nenda kwa kaumu ya Firauni; kwani hao wamepita mipaka katika dhulma yao. Ama ajabu ya watu hawa! Hawaogopi nini litalo wafika kwa vitendo vyao hivi, wakatahadhari?