Skip to content
الشعراء /

Aya 11

26 : 11
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 11

قَوۡمَ فِرۡعَوۡنَۚ أَلَا يَتَّقُونَ

Watu wa Firauni. Hawaogopi?

Explanation & meanings · 1
  1. Nenda kwa kaumu ya Firauni; kwani hao wamepita mipaka katika dhulma yao. Ama ajabu ya watu hawa! Hawaogopi nini litalo wafika kwa vitendo vyao hivi, wakatahadhari?