Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 93

21 : 93
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 93

وَتَقَطَّعُوٓاْ أَمۡرَهُم بَيۡنَهُمۡۖ كُلٌّ إِلَيۡنَا رَٰجِعُونَ

Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na juu ya kuwepo uwongozi huu aghlabu ya watu wamegawanyika kwa mujibu wa matamanio yao, wakafanya mambo yao ya Dini mapande mapande, wakawa makundi mbali mbali. Na kila kundi litaturejea Sisi tulihisabie vitendo vyake.