Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 64

21 : 64
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 64

فَرَجَعُوٓاْ إِلَىٰٓ أَنفُسِهِمۡ فَقَالُوٓاْ إِنَّكُمۡ أَنتُمُ ٱلظَّٰلِمُونَ

Basi wakajirudi nafsi zao, wakasema: Hakika nyinyi mlikuwa madhaalimu!

Explanation & meanings · 1
  1. Wakazirejea nafsi zao wakiifikiria ile ibada yao kuabudu vitu visivyo mnufaisha yeyote wala haviwezi kujitetea wenyewe. Wakayaona makosa yao. Baadhi yao wakasema: Ibrahim si katika walio dhulumu, bali nyinyi ndio madhaalimu kwa kuabudu vitu visio stahiki kuabudiwa.