Skip to content
البَقَرَة /

Aya 53

2 : 53
البَقَرَة Aya 286
Sura · البَقَرَة
Kiswahili · Barawani
2 : 53

وَإِذۡ ءَاتَيۡنَا مُوسَى ٱلۡكِتَٰبَ وَٱلۡفُرۡقَانَ لَعَلَّكُمۡ تَهۡتَدُونَ

Na tulipo mpa Musa Kitabu na pambanuo ili mpate kuongoka.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kumbukeni tulipo kuneemesheni kwa kukumteremshia Nabii wenu Musa Kitabu chetu Taurati, Kitabu ambacho kinafarikisha baina ya Haki na baat'ili, na kinabainisha baina ya Halali na Haramu, ili mpate kupata uwongozi kwa nuru yake na muongoke kutokana na upotovu kwa kuzingatia yaliyomo ndani yake.