Skip to content
مَريَم /

Aya 30

19 : 30
مَريَم Aya 98
Sura · مَريَم
Kiswahili · Rwwad
19 : 30

قَالَ إِنِّي عَبۡدُ ٱللَّهِ ءَاتَىٰنِيَ ٱلۡكِتَٰبَ وَجَعَلَنِي نَبِيّٗا

(Mtoto huyo) akasema: Hakika mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.