18 : 92
ثُمَّ أَتۡبَعَ سَبَبًا
Kisha akaifuata njia.
Explanation & meanings · 1
- Kisha akaendelea vile vile akitumia mbinu alizo msahilishia Mwenyezi Mungu za kumpa tawfiki, akishika njia baina ya mashariki na magharibi.
ثُمَّ أَتۡبَعَ سَبَبًا
Kisha akaifuata njia.