Skip to content
الكَهف /

Aya 89

18 : 89
الكَهف Aya 110
Sura · الكَهف
Kiswahili · Barawani
18 : 89

ثُمَّ أَتۡبَعَ سَبَبًا

Kisha akaifuata njia.

Explanation & meanings · 1
  1. Kisha Dhul-Qarnaini akaendelea vile vile huku akiomba tawfiki ya Mwenyezi Mungu, na akafuata njia ya kufikilia matokea jua upande wa mashariki.