18 : 85
فَأَتۡبَعَ سَبَبًا
Basi akaifuata njia.
Explanation & meanings · 1
- Kwa kutumia njia hizo aliweza kueneza madaraka yake katika ardhi, na akafuata njia mpaka akafika huko magharibi kunako kuchwa jua.
فَأَتۡبَعَ سَبَبًا
Basi akaifuata njia.