Skip to content
الكَهف /

Aya 4

18 : 4
الكَهف Aya 110
Sura · الكَهف
Kiswahili · Barawani
18 : 4

وَيُنذِرَ ٱلَّذِينَ قَالُواْ ٱتَّخَذَ ٱللَّهُ وَلَدٗا

Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kiwaonye kwa njia makhsusi wale walio msingizia Mwenyezi Mungu kuwa ana mwana, na hali Yeye ametakasika kuwa kama viumbe, akawa mwenye kuzaa au akazaliwa mtoto wake.