Skip to content
الكَهف /

Aya 103

18 : 103
الكَهف Aya 110
Sura · الكَهف
Kiswahili · Barawani
18 : 103

قُلۡ هَلۡ نُنَبِّئُكُم بِٱلۡأَخۡسَرِينَ أَعۡمَٰلًا

Sema: Je, tukutajieni wenye khasara mno katika vitendo vyao?.

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Mtume! Waambie hawa makafiri: Je, nikutajieni watu watao pata khasara mno kwa vitendo vyao na watao kosa thawabu?