Skip to content
الإسرَاء /

Aya 10

17 : 10
الإسرَاء Aya 111
Sura · الإسرَاء
Kiswahili · Barawani
17 : 10

وَأَنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱلۡأٓخِرَةِ أَعۡتَدۡنَا لَهُمۡ عَذَابًا أَلِيمٗا

Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika wale ambao hawaiamini Akhera tumewatengenezea adhabu ya machungu makali.