Skip to content
الحِجر /

Aya 7

15 : 7
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 7

لَّوۡمَا تَأۡتِينَا بِٱلۡمَلَٰٓئِكَةِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ

Mbona hutuletei Malaika ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli?

Explanation & meanings · 1
  1. Na hadi ya ukafiri wao walizidisha juu ya matusi hayo na kejeli kwa kusema: Laiti badala ya hicho Kitabu kilicho teremshwa ungeli tuletea Malaika wakawa ndio hoja yenyewe, kama wewe ni msema kweli miongoni mwa wenye kusema kweli!