Skip to content
الحِجر /

Aya 2

15 : 2
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 2

رُّبَمَا يَوَدُّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ لَوۡ كَانُواْ مُسۡلِمِينَ

HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Watapenda, na watatamani sana makafiri wanao zikanya Aya za Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taa'la, watapo ona adhabu ya Siku ya Kiyama, lau kuwa walisilimu walipo kuwapo duniani, na wakafuata kwa ikhlasi Dini ya Mwenyezi Mungu.