Skip to content
إبراهِيم /

Aya 43

14 : 43
إبراهِيم Aya 52
Sura · إبراهِيم
Kiswahili · Barawani
14 : 43

مُهۡطِعِينَ مُقۡنِعِي رُءُوسِهِمۡ لَا يَرۡتَدُّ إِلَيۡهِمۡ طَرۡفُهُمۡۖ وَأَفۡـِٔدَتُهُمۡ هَوَآءٞ

Nao wako mbioni, vichwa juu, na macho hayapepesi, na nyoyo zao tupu.

Explanation & meanings · 1
  1. Nao wako mbioni kumwendea anaye wita, vichwa vyao vimeelekea juu mbinguni, macho yao hayapepesi hata wakitaka, na nyoyo zao tupu hazina wazo lolote kwa wingi wa khofu.