Skip to content
هُود /

Aya 115

11 : 115
هُود Aya 123
Sura · هُود
Kiswahili · Barawani
11 : 115

وَٱصۡبِرۡ فَإِنَّ ٱللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجۡرَ ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Na subiri, kwani Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa wanao fanya wema.

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Nabii! Vumilia mashaka ya haya tunayo kuamrisha, na yatimize vilivyo. Mwenyezi Mungu atakulipa malipo makubwa. Kwani kwake Yeye hayapotei malipo ya watendao mema kwa mujibu wa vitendo vyao.